Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,850
- 803
napenda sana simu za samsung galaxy ingawa uwezo wa kununua sina,gharama kubwa sana tunaishia kwa mkombozi wa wanyonge tecno,huwa naishia kusoma specification zake na kuzikubali sana,kinachonisikitisha mfano hapa mwanza unakuta samsung zimezagaa tangu ktk maduka makubwa hadi kwa wamachinga pale jirani na mwanza hotel. kibaya zaidi unashindwa kutofautisha ipi simu halali au ipi feki maana usipokuwa makini unaibiwa.wanajf nitatofautishaje hii michina na original?