benjamini org
Member
- Nov 1, 2016
- 41
- 6
Nataka kununua simu naomba ushauri ni aina gani ya samsung yenyekutoa picha HD yenye quality nichukue wakuu balance yangu ni 250,000
naombeni ushaur na msaada wenu
naombeni ushaur na msaada wenu
Ongeza ongeza uchukue s5Nataka kununua simu naomba ushauri ni aina gani ya samsung yenyekutoa picha HD yenye quality nichukue wakuu balance yangu ni 250,000
naombeni ushaur na msaada wenu
daaaaa je tofaut na tecno simu gan nyingine kalii kwa camera naweza pata kwa beii hiyoOngeza ongeza uchukue s5
MKuu used ntaipatia wapiii mkuukama unataka quality nzuri ya kioo, au quality nzuri ya camera nunua s5 used unaweza pata hio bei ila kama laki 3 unapata yenye hali nzuri. camera ya s5 ina hadi 4K.
ni samsung galaxy s5 amemaanisha sio s5 Tecno.daaaaa je tofaut na tecno simu gan nyingine kalii kwa camera naweza pata kwa beii hiyo