samsung s4 inashida ya network

kaiser p

New Member
Jun 20, 2016
4
3
habari samahani samsung s4 inashida ya kukata mtandao na kuanda Inset sim card na uki listat ina kua sawa bt baada kama dakika 5 tatizo linaludi tena.nn shida
 
kama yangu vile s4 mini yaani inazingua mpk basi ila yangu inachukua muda unaweza kaa nayo hata 4 days , ila ikiamua kugoma.siku nzima
 
umejaribu kupeleka kwa fundi ? maana yngu inaandika emergency call or connection invalid
 
habari samahani samsung s4 inashida ya kukata mtandao na kuanda Inset sim card na uki listat ina kua sawa bt baada kama dakika 5 tatizo linaludi tena.nn shida
hapo shida inawza kuwa vitu 2 chakwanza simcard yako 2 tray inamo kaa simcard
 
Back
Top Bottom