Rafiki kwa yenye GB 128 bei kwa kununua online ni dola 1,199.99 ambayo ni sawa na TZS 2,783,101.20 hivi😀😀 acha hizo mkuu sema bei, huwezi jua naweza kununua 3 cash.
Camera yenye simuHalafu kumbe ina 5G!
View attachment 1677681
Sasa hivi unatumia simu ya aina gani?Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Faida ya gari ni kukutoa point A to point B, lakini kusafiri na passo ni tofauti na kusafiri na range rover hata kama mnatokea point moja kwenda point moja. Ni sawa na simu tu.Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Hata 2030 haifiki. Nakumbuka nilinunua s8 2018 kwa 1.8m. Leo hii zinauzwa mpaka laki 5. Sasa miaka 3 tu itakuwa unauzwa chini ya laki 5. Technologia inakua kwa kasi ya supersonic speed.Sisi akina pangu pakavu tia mchuzi tunasubiri mwaka 2030 tutazinunua kwa laki 3 kule makumbusho
umeongea kwa uchungu sanaaaNunueni jmn mlio na unafuu huu usawa wa Jiwe, simu latest ina raha yake ila ndo hivyo wengine maji mafupi
Sh ngapi? Ni Nzuri!
Flagships za top 7 smartphone brands zote zinakuwa 5G. Ila wanakuwa na version za ambazo ni 4G tu, wanajua maeneo mengi hasa soko la India hawana 5GHalafu kumbe ina 5G!
View attachment 1677681
Ndo hivyo hamna anae penda vitu vibaya, kila mtu anapenda kizuri .
Mkuu Hizi Kauli hua tunatoaga tuu kujifariji, lakini ukweli zinaongozwa na mambo mawili tuu, either UBAHILI au NJAA.Hiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Kujifariji kama hivi nako siyo mbayaHiyo simu ya Samsung 21s inanipa faida gani. Faida ya simu ni kupiga, kupokea, whatsapp, instagram na kuandika message thats all. Nini tena cha zaidi ya kutumia gharama eti kununua samsung 21s ya nini?.
Teh tehSisi akina pangu pakavu tia mchuzi tunasubiri mwaka 2030 tutazinunua kwa laki 3 kule makumbusho