Bee hive
Senior Member
- Feb 22, 2012
- 146
- 54
nimekuwa nikitumia hii simu kwa muda kidogo kwa kutumia line ya voda. Ila inapokuja kwenye matumizi ya mpesa, mara kadhaa haswa napotakiwa kutumia pin inaniambia nimekosea kuweka tarakimu wakati nipo sawa. Naomba kujuzwa hilo tatizo lina tiba au kwa aina hii ya simu hakuna tiba?