Abdul Bilal
Member
- Jul 29, 2017
- 88
- 15
Ebana nina hii tab 3 ambayo nilikuwa natumia ila kutokana na tatizo lake hili nimeamua kuiweka kabatini.
Ni kwamba unaiwasha inawaka saaafi, ila ikashakaa tayari basi haipiti dakika ina restart tena.
Any solution wataalamu.
Maana kuna hawa mafundi wa kiajemi huku nimewapelekea sijui wanasema ac i ekufa so mpaka nibadili, ila wanasema haina uhakika coz unaweza badili after muda ikabuma tena.
So naogopa kucheza kamari kwa kumpa fundi pesa ya bure.
Ni kwamba unaiwasha inawaka saaafi, ila ikashakaa tayari basi haipiti dakika ina restart tena.
Any solution wataalamu.
Maana kuna hawa mafundi wa kiajemi huku nimewapelekea sijui wanasema ac i ekufa so mpaka nibadili, ila wanasema haina uhakika coz unaweza badili after muda ikabuma tena.
So naogopa kucheza kamari kwa kumpa fundi pesa ya bure.