The observer
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 211
- 84
Habari wanajamvi,
Nina mpango wa kununua simu tajwa hapo juu, katika pita pita zangu za kutaka kujua "user experience" za watumiaji wengine nikakutana na review ya mtandao mmoja wa wahindi (GSM Arena). Wengi wa waliotuma review kuhusu hiyo simu wanadai ina tatizo la kupoteza network na mpaka uzime na kuwasha tena ndio network irudi. Japokuwa sio wote wamepata tatizo hilo lakini majority wamelalamika. Sasa sijaua hapa bongo watumiaji wa simu hiyo kama nao wanapata tatizo la aina hiyo au la. Tafadhali naomba michango kwa walionunua na kutumia simu hiyo hapa bongo.
Nawasilisha!
Nina mpango wa kununua simu tajwa hapo juu, katika pita pita zangu za kutaka kujua "user experience" za watumiaji wengine nikakutana na review ya mtandao mmoja wa wahindi (GSM Arena). Wengi wa waliotuma review kuhusu hiyo simu wanadai ina tatizo la kupoteza network na mpaka uzime na kuwasha tena ndio network irudi. Japokuwa sio wote wamepata tatizo hilo lakini majority wamelalamika. Sasa sijaua hapa bongo watumiaji wa simu hiyo kama nao wanapata tatizo la aina hiyo au la. Tafadhali naomba michango kwa walionunua na kutumia simu hiyo hapa bongo.
Nawasilisha!