Gelevaheke
Member
- Apr 18, 2013
- 77
- 5
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
Wengi wanasema mpaka K/koo na huko kuna Clone nyingi, hivyo unapaswa kuwa makini. J'4 nilizunguka maduka ya simu ya Posta kama 6 au 7 hivi cha ajabu ukimtamkia S4 Clone watakwambia hawaifamu, na ukisema ya kichina watakwambia hawana. Kwa kukusaidia mwone Chief Mkwawa ana jamaa yake anaziuza zikiwa mpya kabisa ndani ya Box lake.
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
Wengi wanasema mpaka K/koo na huko kuna Clone nyingi, hivyo unapaswa kuwa makini. J'4 nilizunguka maduka ya simu ya Posta kama 6 au 7 hivi cha ajabu ukimtamkia S4 Clone watakwambia hawaifamu, na ukisema ya kichina watakwambia hawana. Kwa kukusaidia mwone Chief Mkwawa ana jamaa yake anaziuza zikiwa mpya kabisa ndani ya Box lake.
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
Mkuu watu wa posta ni wezi, wanajifanya hawazijui clone lakini usipokuwa makini wanakuuzia clone kwa bei ya original
Clone ndio fake au, tueleweshane jamani
Yes, ila ukiangalia kwa macho na mambo madogo madogo yaliyondani huwezi kutambua kama ni feki. Nenda Youtube uiangalie, huwezi amini kama ni feki. Inaitwa 'Samsung Galaxy S4 Clone'.
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
Mimi ninayo kaka nyeupe mpya kbs kwenye box lake na accessories zake zote. Bei laki 4.
300000 unachukua?
300000 unachukua?
Mimi ninayo kaka nyeupe mpya kbs kwenye box lake na accessories zake zote. Bei laki 4.
Kaa kinondoni kwa john fedha wanapitisha 250000 tu. Mpaka I phone