Samsung galaxy S21 ultra is far better kwa iphone 13 pro max

Wenyewe ndo mnauliza hapa...

Katika maelezo tukiziweka Tecno na Infinix pale zinapostahili, mtaanza kulalamika!!!

Si unajua ukisema mara ni "low end" au sijui "budget phones" inakuwa ngumu kwa wengine kuelewa lakini ukisema "cheaper phones"... chapchap mwenye nayo anajua pahala lake!! Na hapo ndipo nongwa inaanza...
Kweli kabisa mkuu.Sema nahitaji kutoa ujinga kwa kufahamu hizo mambo

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Wenyewe ndo mnauliza hapa...

Katika maelezo tukiziweka Tecno na Infinix pale zinapostahili, mtaanza kulalamika!!!

Si unajua ukisema mara ni "low end" au sijui "budget phones" inakuwa ngumu kwa wengine kuelewa lakini ukisema "cheaper phones"... chapchap mwenye nayo anajua pahala lake!! Na hapo ndipo nongwa inaanza...
Rahisisha tu. Tecno , Infinix ziweke kundi la useless phones
 
yaani operating system ya Android unataka kulinganisha na operating system ya IOS seriously?

vipi upande wa hardware system ?

iPhone achana nayo zungumzia mambo mengine mkuu
 
Flagship ni zile simu kubwa za daraja la juu zinazoongoza kwenye soko kama iPhones, Samsung Note & S series na brands nyingine kama Huawei, one plus... zile simu kubwa za gharama

Midrange ni simu za daraja la kati kwa ufupi hawa kina Samsung A series, google pixel, xiaomi nk

Halafu budget phone ndio daraja la chini akina Infinix, tecno na simu nyingine bei rahis hizo bei yake labda $100
mm natumia infinix note 10 pro ...zaidi ya dollar 250 ...ni midrange au budget.??

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Picha ziamue sasa.
Screenshot_20211028-134659.jpg
Screenshot_20211028-134650.jpg
Screenshot_20211028-134541.jpg
Screenshot_20211028-134523.jpg
Screenshot_20211028-134501.jpg
Screenshot_20211028-134415.jpg
Screenshot_20211028-134341.jpg
 
Back
Top Bottom