SAMSUNG GALAXY NOTE 4 (brand new)

Hivi hizi simu note 4 mbona matoleo yake yashaisha madukani wewe unazipatia wapi? Mana kiwandani hawaproduce tena. Tena nilikua nauliza note 5 nikaambiwa hazitoki tena hata madukani hamna
 
Hivi hizi simu note 4 mbona matoleo yake yashaisha madukani wewe unazipatia wapi? Mana kiwandani hawaproduce tena. Tena nilikua nauliza note 5 nikaambiwa hazitoki tena hata madukani hamna
NOTE 4 NOTE 5 ZIPO. Maduka mangap ulizunguka ukaambiwa hivyo/ mkoa gani?
 
Hivi hizi simu note 4 mbona matoleo yake yashaisha madukani wewe unazipatia wapi? Mana kiwandani hawaproduce tena. Tena nilikua nauliza note 5 nikaambiwa hazitoki tena hata madukani hamna


Ni kweli mkuu Maduka ya mawakala halali wa Samsung hizi simu hazipatikani na hata ukipata hutaipata kwa hiyo laki 4
 
Ni kweli mkuu Maduka ya mawakala halali wa Samsung hizi simu hazipatikani na hata ukipata hutaipata kwa hiyo laki 4
Rubii afadhali umenisaidia, wabongo tunapigwa sana kwa kutokujua full information kuhusu kitu fulani. Sasa jamaa ananilazimisha eti we nunua badala ya kujibu swali. Wenzetu mawakala nnchi za wenzetu wanakuambia kabisa hazitengenezwi tena. Sasa muuzaji atuambie hiyo yake ni ya nchi gani au used kaivisha cover mpya?
 
Rubii afadhali umenisaidia, wabongo tunapigwa sana kwa kutokujua full information kuhusu kitu fulani. Sasa jamaa ananilazimisha eti we nunua badala ya kujibu swali. Wenzetu mawakala nnchi za wenzetu wanakuambia kabisa hazitengenezwi tena. Sasa muuzaji atuambie hiyo yake ni ya nchi gani au used kaivisha cover mpya?


Yawezekana ni toleo la nchi nyingine
 
Rubii afadhali umenisaidia, wabongo tunapigwa sana kwa kutokujua full information kuhusu kitu fulani. Sasa jamaa ananilazimisha eti we nunua badala ya kujibu swali. Wenzetu mawakala nnchi za wenzetu wanakuambia kabisa hazitengenezwi tena. Sasa muuzaji atuambie hiyo yake ni ya nchi gani au used kaivisha cover mpya?
A series ndo mbadala wa NOTE series lakini haimaanishi kama kwenye maduka ya samsung/wakala hazipo na kiwandani hazitoki basi maduka mengine waliochukua mzigo mwingi wasiuze labda kampuni iseme zina tatizo zisiuzwe.
 
Hivi hizi simu note 4 mbona matoleo yake yashaisha madukani wewe unazipatia wapi? Mana kiwandani hawaproduce tena. Tena nilikua nauliza note 5 nikaambiwa hazitoki tena hata madukani hamna
Mkuu mbona hata Note 3 zipo madukani bado... and So far Note 3 ni brand bora sana ya Samsung..
 
A series ndo mbadala wa NOTE series lakini haimaanishi kama kwenye maduka ya samsung/wakala hazipo na kiwandani hazitoki basi maduka mengine waliochukua mzigo mwingi wasiuze labda kampuni iseme zina tatizo zisiuzwe.


Maduka mengine walichukua mzigo mwingi waje wauze kwa bei ya kutupa??
Simu ya laki nane auze kwa laki4 baada ya simu kuwa adimu sokoni?
 
A series ndo mbadala wa NOTE series lakini haimaanishi kama kwenye maduka ya samsung/wakala hazipo na kiwandani hazitoki basi maduka mengine waliochukua mzigo mwingi wasiuze labda kampuni iseme zina tatizo zisiuzwe.
Jinsi ninavyojua huwa zinarudishwa kwa mawakala then kiwandani lakini madukani hutazikuta zikiuzwa labda used
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom