iokote
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 601
- 875
Wakuu habari,
Nimekutana na hizi simu sokoni (Samsung A10, 20, 50, 90), ni toleo jipya la Samsung. Vp kuhusu ubora wake kwa ambao wanazifahamu au ambao tayari wanzitumia.
Nimevutiwa na bei ya A10 iko reasonable sana nataka nivute moja.
Msaada kwa wajuzi wa hii kitu.
Cc: wana jukwaa wote wa technology.
Nimekutana na hizi simu sokoni (Samsung A10, 20, 50, 90), ni toleo jipya la Samsung. Vp kuhusu ubora wake kwa ambao wanazifahamu au ambao tayari wanzitumia.
Nimevutiwa na bei ya A10 iko reasonable sana nataka nivute moja.
Msaada kwa wajuzi wa hii kitu.
Cc: wana jukwaa wote wa technology.