Geekunexpect
Member
- May 4, 2016
- 50
- 33
Hizi TV zina sehemu ya kuweka card kama decoder mbalimbali.Je card zake zinapatikana wapi na ukipata card yake unaweza itumia bila decoder ama kuitumia kwa Antenna ama dish 6 inches??
Na pia mikoani let say Dodoma unaweza weka antenna peke yake ukashika channels za local kama ukiwa mjini Dar??
Na pia mikoani let say Dodoma unaweza weka antenna peke yake ukashika channels za local kama ukiwa mjini Dar??