Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,129
- 33,446
Katika pitapita zangu nimepjikuta napendezwa na simu tajwa hapo juu.
Naomba kufahamishwa bei hapa nchini au kuagiza.
Naomba kufahamishaa kuhusu weakness zake.
Nimeona ipo pia a80 ila betri wameshusha ujazo.
Wapi kwa hapa tz naweza kuipata?
NB. Kilichonivutia ni ukubwa wa screen na betri mengine tutavumiliana.
Naomba kufahamishwa bei hapa nchini au kuagiza.
Naomba kufahamishaa kuhusu weakness zake.
Nimeona ipo pia a80 ila betri wameshusha ujazo.
Wapi kwa hapa tz naweza kuipata?
NB. Kilichonivutia ni ukubwa wa screen na betri mengine tutavumiliana.