Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Ok let make it clear....mimi sina pesa za kutosha naamini simu bora ni High Enda phones au Flagships za kampuni kubwa za simu hasa SUMSUNG KWANGU ukiniwekea Billion 2 kwa accound nitanunua Hizo tu.Mbona unakua msahaulifu mkuu,
Wewe si ndio ulianza kwa kuita simu takataka?
Mkuu kumbukumbu ni muhimu, hii kitu nilishamaliza huko juu.
A 12 simu bora kwangu kwa Cashflow yangu