Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
Ni kuwa makini na magamba maana ni watu hatari sana hao
Hiyo ni kweli kuna watu wanajifanya chadema kumbe sio nia yao ni kuvuruga tu na ndio hawa watu wanaowagawa watu kikanda, kikabila na kidini, kuweni makini ccm ipo kazini haijafa bado kama mnavyofikiri