babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,399
- 3,243
Mabeberu walimchagua mcheza ngoma mzuri kabisa aliweza kucheza ngoma za mitindo mbalimbali nao walimpata IDD AMINI ambaye walimtumia kuivuruga TANZANIA.
HAYA NI MANENO YA SAMORA MACHEL.
Lakini kwa leo tunaweza sema WANAMTANDAO ambao hapo mwanzo hatukujua wanacheza ngama gani nao walimchagua MCHEZA NGOMA MAHIRI wakatukabidhi kumbe lengo lao halikuwa kuleta maendeleo bali kutafuna RASILIMALI ZA TANZANIA. Hakika walimpata tuliposhtuka tuliwasambaratisha ila bado wanalindana.
KWA KWELI KILA ZAMA NA KITABU CHAKE. HIKI NI CHA UDHAIFU NA UFISADI TU
HAYA NI MANENO YA SAMORA MACHEL.
Lakini kwa leo tunaweza sema WANAMTANDAO ambao hapo mwanzo hatukujua wanacheza ngama gani nao walimchagua MCHEZA NGOMA MAHIRI wakatukabidhi kumbe lengo lao halikuwa kuleta maendeleo bali kutafuna RASILIMALI ZA TANZANIA. Hakika walimpata tuliposhtuka tuliwasambaratisha ila bado wanalindana.
KWA KWELI KILA ZAMA NA KITABU CHAKE. HIKI NI CHA UDHAIFU NA UFISADI TU