christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,478
- 3,876
Ubaya wa Magufuli ulikuwa kwa wakina nani? Yaani kudhibiti uwizi wa rasilimali zetu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ndio ubaya wake? Hata mjaribu vipi kumchafua dunia imeshashuhudia kuwa mwamba alikuwa ni kipenzi cha watanzinia kutokana na kazi zake.