Marekani uionayo leo kwamba imeendelea sana imekua hivi tuionavyo leo kwasababu ya FED...bila FED isingekua hivi...
Lakini hapohapo kumbuka nilikwambia kwamba kuundwa kwa FED kulikua kinyume na katiba ya Marekani.Nadhani utakua unaelewa namaanisha nini hata kama uwezo wa ubongo wako ni mdogo.
Narudia,katiba ni maandishi tu,binadamu ndio mtendaji.
Lakini hapohapo kumbuka nilikwambia kwamba kuundwa kwa FED kulikua kinyume na katiba ya Marekani.Nadhani utakua unaelewa namaanisha nini hata kama uwezo wa ubongo wako ni mdogo.
Narudia,katiba ni maandishi tu,binadamu ndio mtendaji.