Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Eyakuze alikuwa na issue gani?
Usilete speculations za "huwezi kujua..."
Let's talk facts, not speculations.
Ukitaka kutumia speculations hizo, tunaweza kuhoji lolote kwa hoja ya "huwezi kujua..."
Bado hujatatua contradiction yako.
Unataka tusubiri uchaguzi au tunaweza kujua kama CCM inakubalika kabla ya uchaguzi?
Kama tunaweza kujua CCM inakubalika kabla ya uchaguzi, kwa nini umesema tusubiri uchaguzi?
Articles are not necessarily factual. They’re as good as their authors! Labda kama una firsthand knowledge ya swala la Eyakuze!
Wewe usiyeamini subiri uchaguzi, lakini sisi wengine ambao bado hatujapata sababu ya kuzipuuza polls jumla jumla, tunajua CCM inakubalika.