Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Nothing, just we are in the campaign trail. Everyone has to fight for their side, and when they speak, the other side will always find offended. But in the end, its politics. After the election is over, you'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much.
Kuna mahali ulimcheka mtu kwa kiingereza chake lakini chako.....

Amandla...
 
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mama yumo kwenye 10 bora za mwanzo zitakazoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa
 
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mama yumo kwenye 10 bora za mwanzo zitakazoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa
Kabla ya kusema vitu ambavyo hamvijuwi, mgekuwa mnajiridhisha kama nani ana mamlaka ya kumshitaki mtu au kikundi cha watu kwenye mahakama ya kimataifa. Na ni vigezo vipi vinatumika mpaka mtu afikishwe mahakamani, kwa kifupi, hicho unachokisema hapa hakitatokea kwa Tanzania hii ya leo.
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Huyu bibi naye sikujua kama ni katili hivi
 
Matokeo ya kupikwa ,mkakati naona ulianza miaka ya nyuma,ndiyo maana Magu alipangua watu wote akaweka cabinet yake
 
Mimi sikujua hili limama nalo kumbe jizi la kura .
IMG_20201017_140237.jpg
Screenshot_20201104-083224.png
 
Ukisikia 'Watashindanaa Lakini Hawatashinda (kwa sauti ya mzee wa upako)' Ndiko huku.
 
Back
Top Bottom