Kuna mahali ulimcheka mtu kwa kiingereza chake lakini chako.....Nothing, just we are in the campaign trail. Everyone has to fight for their side, and when they speak, the other side will always find offended. But in the end, its politics. After the election is over, you'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much.
Kabla ya kusema vitu ambavyo hamvijuwi, mgekuwa mnajiridhisha kama nani ana mamlaka ya kumshitaki mtu au kikundi cha watu kwenye mahakama ya kimataifa. Na ni vigezo vipi vinatumika mpaka mtu afikishwe mahakamani, kwa kifupi, hicho unachokisema hapa hakitatokea kwa Tanzania hii ya leo.Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mama yumo kwenye 10 bora za mwanzo zitakazoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa
Ndoto njemaTaarifa zinaonyesha kwamba huyu mama yumo kwenye 10 bora za mwanzo zitakazoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa
Huu utoto mngeachana nao maana imekuwa proved mara kibao kwamba hizi ni wishful thinking. Grow up guysTaarifa zinaonyesha kwamba huyu mama yumo kwenye 10 bora za mwanzo zitakazoburuzwa kwenye mahakama ya kimataifa
Madaraka yanalevya kuliko bangeHuyu Mama alikuwa na busara sana siku za nyuma sijui ni nini kilichomsibu
Hivi gramatically inatakiwa iwe "You are degrading" au "Your degrading"? Hiki kidhungu hiki?Your degrading Women,You luck Euphemisim in your lexicon
Huyu bibi naye sikujua kama ni katili hivi
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Huwa wanaingia na matokeo yao tayariSasa kama kura zikiwa nyingi kwa chama kingine wao watashinda vipi?
Hii ndo ishara ya kwamba Uchaguzi wetu hauamuliwagi kwa wingi wa kura za halali za kwenye maboksi
Kabisa, walishakamilisha mipango yao kabla hata ya kupiga kura tarehe 28Tafsiri, hata tusipopata kura zenu tutaiba tu kura na kuunda serikali kwa hila.
ni lugha inayotaka kufanana kidogo na kiingereza hahahahaKiingereza cha wapi hiki
Kww nini mkuu?Huyu mama nilikua namheshimu Sana lakini SASA hivi namuona kama MTU anaetembea uchi.
So which part of the construction you exactly have found faulty?