Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Nadhani Kiswahili ni lugha ngumu kwako mkuu..ni wapi Mheshimiwa Rais Mzalendo ameondolewa hashima yake?Watanzania wenzangu pamoja na tofauti zetu za kiitikadi, lakini ni vema tukaonyesha heshima kwa mkuu wetu wa nchi, kwa nafasi yake kama mkuu wa nchi, inampa hadhi ya tofauti kabisa na Watanzania wengine
Kwa taarifa yako tu, kwenye mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi za SADC, ulifanyika agosti 2019, hapa jijini Dar es Salaam, lugha ya kiswahili ilipitishwa rasmi na kuwa mojawapo ya lugha rasmi kwenye SADC
Kumbuka ata Katiba inasema yeye ndiye anabidi kuheshimiwa tu