Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Mama anahuruma sana, amefanya mazuri kwa viongozi wenu, wengine amewakuta lockup amewatoa, na faini mmerudishiwa lakini pamoja na yote bado mkaendelea mnamfanyia dhihaka, dharau na kujichukulia maamuzi mnavyotaka kwakuwa tuu huyu ni mwanamke acha tufanye tunavyotaka. Sasa hiyo ndiyo shukurani!!! Ninyi hata awafanyie wema gani huyu mama mtaendelea kumchukia, kumzarau na kujichukulia maamuzi.


Mimi acha niseme ya moyoni, chama kikiwa chini ya viongozi wa kichagga sitegemei kuja kushika dola, wengi wenu mnaasili ya ujeuri na ukorofi sasa mmpewe dola kweli!! Si mtatumaliza kabisa.

Ili chadema iendelee kuwepo na kufika mbali na hata kushika dola yawapasa mkivuruge, toeni viongozi wote wa kichagga safisheni kabisa mwanze upya na makabila mengine kama vile wasukuma, wazigua, wanyakyusa, wanyamwezi, waha na akina tundu lisu n.k utaona kama hamjafika mbali na hata kushika nchi.
Hujaonyesha kosa la Mbowe zaidi ya kutaka Hangaya aabudiwe,
 
Nguvu kubwa inatumiwa na Lumumba kuwaleta Kaaya, mama muuza Mbege, Mzee wa Ballistic,Kingai ili kutoa ushahidi wa

Nguvu kubwa inatumiwa na Lumumba kuwaleta Kaaya, mama muuza Mbege, Mzee wa Ballistic,Kingai ili kutoa ushahidi wa uongo
Nadhani ndio maana Chadema imeweka mawakili mahili ili ibaini huo ushahidi wa uongo, katika hatua hii mgewaachia akina Kibatala wafanye kazi yao.
 
kwani mbowe akiwa rais akaja akafa mtafanya nini au yule ni mtu wa chuma kama robot hafi yeye? unamaswali ya kiuchi wa kike kweli we jamaa

..huo uraisi usikamiwe, na kutafutwa kwa njia haramu, kama kutia watu ulemavu, au kuuua, kama alivyofanya bwana yule.
 
Nadhani ndio maana Chadema imeweka mawakili mahili ili ibaini huo ushahidi wa uongo, katika hatua hii mgewaachia akina Kibatala wafanye kazi yao.
Isingekuwa interview ya BBC na mama aliyoingizwa kingi na wajanja The gang kesi hii ingekuwa imefutwa zamani.
 
Kwa hili la Mbowe Hangaya hachomiki
emoji1.png
Anataka aingie kwenye orodha ya viongozi wa kiafrika waliowatia ndani wapinzani wao.
 
Mateka wa mbowe ni kama misukule iliyofiwa na mwenyewe. Inawayawaya kila kukicha, kuingia barabarani inaogopa
 
Hakuna aliye juu ya sheria za nchi. Acha mkondo wa sheria ufanye kazi yake. Wasiwasi wako ni nini? Kama Mbowe atathibitika siyo gaidi mkondo wa sheria utamuachia huru. Akithibitika ni gaidi mkondo wa sheria utamuhifadhi mahala salaama anapostahili na nyie mtachagua mwenyekiti mwingine mzuri. Huo ndiyo utawala wa sheria unavyopaswa kuwa. Raisi hapaswi kuuingilia kwani akifanya hivyo atakuwa dikiteta. Acheni kulialia. Kazi iendelee.
mbna huyo raisi wako aliingilia mahakama kwa kutoa hukumu kwenye shirika la utangazaji la BBC , na kuuambia ulimwengu kuwa mbowd ni Gaidi ...

Hapo ndo nkamwomna huyu bibi kazinguaa

2025 ni mbaliii ila subiri 2023 tu hapo .....mtakavokuwa mmechoka sanaaaaaaa
 
Mbowe hafungwi, toa mashaka, ni kaupepo tu haka kanapita, Samia mwenyewe anatambua hilo! Kwanza tumemmis huku mtaani na mishemishe zake!! Mnyika (Wa siku hizi) yeye kaupiga wa Pono, nimemsikiliza Slaa juzi Azam TV, mdingi pamoja na uzee wake bado anamuacha Mnyika mbali mnoo kwa kujenga hoja na ushawishi
 
Hakuna aliye juu ya sheria za nchi. Acha mkondo wa sheria ufanye kazi yake. Wasiwasi wako ni nini? Kama Mbowe atathibitika siyo gaidi mkondo wa sheria utamuachia huru. Akithibitika ni gaidi mkondo wa sheria utamuhifadhi mahala salaama anapostahili na nyie mtachagua mwenyekiti mwingine mzuri. Huo ndiyo utawala wa sheria unavyopaswa kuwa. Raisi hapaswi kuuingilia kwani akifanya hivyo atakuwa dikiteta. Acheni kulialia. Kazi iendelee.
Kama sheria unafuata mkondo wake... yupo wapi babu seya???
 
Kwa ushahidi wa Kaaya na muuza Mbege,, yaani umfunge Raila odinga afu wakenya wasipige kerere, umfunge, Trump afu Americans wasipige kerere, ukweli Ni kuwa si Kongai, Hangaya, mawakili wa serikali wanaotaman kesi hii hisiwepo Ila wanatafuta jinsi ya kuitema
Kama walivyotenda haki kwa sabaya, tunaomba haki itendeke na kwa mbowee
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.

Nondo✅✅
 
[QUOTE="Quinine, post: 40997877, member: 24815"
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
[/QUOTE]
mwendazake pamoja na ukatil wake kashindwa, inaonekana mama ni katili kupita kiasi japo anajificha kwenye kivuli cha upole.
 
Back
Top Bottom