Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
 
Mbowe kaingia dili na wenye power hajafungwa na wala hana kesi kwa kifupi kawauza Wachaga na chadema kwa nyingine tena.

Ukweli utakuja kuuona 2025 watakapodhurumiana, kwani CCM hawatokubali power sharing, …
 
Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka, haki inaweza kuchukua miaka 10 kutendeka je mwaka wa kwanza ilionekana?
 
Kwa kauli za Mr. DJ"tunataka aitishe mkutano na wapinzani haraka sana" acha aone makali ya Mama.
 
Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
kama siyo gaidi atatoka na akipatikana na hatia atafungwa wasubiri tu
 
usimlnganishe mandela na hawa jamaa mandela ile kichwa nyingine acha kabisa mbowe alishaonyesha udhaifu hata ndani ya chama chake kukatalia kwenye uenyekiti hataki wenzie warithi miaka nenda rudi mandela uliona anatabia hizo
Pole
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
Kwani hao wafungwa wote walioko gerezani wao sio binadamu?? Mpaka doa lionekane kwa kufungwa kwa mbowe? Kama unampenda mtuu unamshauri kablaa hajapatwa na matatizo. Mbowe akionekana na kosa sheria ichukue mkondo wake bila upendeleo.
 
Alipohojiwa na Kikeke BBC akasema ushahidi wa Mbowe gaidi uko wazi hakuingilia mahakama?
Hajaingilia mahakama labda kama hujui huo mkondo wa sheria ulivyo. Mkondo huu unaanzia kwa vyombo vya serikali kukusanya ushahidi dhidi ya mtuhumiwa. Serikali ikishajiridhisha kuwa ushahidi dhidi ya mtuhumiwa umekuwa wazi ndipo serikali humkamata mtuhumiwa na kumpeleka mahakamani. Serikali haiwezi kupeleka mahakamani mtuhumiwa ye yote kama haijapata ushahidi ulio wazi dhidi yake. Baada ya kumfikisha mtuhumiwa mahakamani, mkondo wa kisheria wa mahakama huanza na hukamilika kwa maamuzi/ hukumu ya hakimu / jaji. Serikali huwa haiingilii huo mkondo (mchakato) wa kisheria wa mahakamani.
 
Kwani hao wafungwa wote walioko gerezani wao sio binadamu?? Mpaka doa lionekane kwa kufungwa kwa mbowe? Kama unampenda mtuu unamshauri kablaa hajapatwa na matatizo. Mbowe akionekana na kosa sheria ichukue mkondo wake bila upendeleo.
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka tangu mwanzo.
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
AMINA
 
Back
Top Bottom