mbowehawezi kuwa kama mandela chama tu kimemshinda itakuwa nchi?Enzi zile kuna watu walikuwa wanam-dis Mandela kama wewe leo unavyotakam-dis Mbowe lkn baadae walikuja kumkumbuka.
mbowehawezi kuwa kama mandela chama tu kimemshinda itakuwa nchi?Enzi zile kuna watu walikuwa wanam-dis Mandela kama wewe leo unavyotakam-dis Mbowe lkn baadae walikuja kumkumbuka.
Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka, haki inaweza kuchukua miaka 10 kutendeka je mwaka wa kwanza ilionekana?Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
Kwani nae ni dhalimu? Si mnapumua nyie? Baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?katili sana huyu mtu.
kama siyo gaidi atatoka na akipatikana na hatia atafungwa wasubiri tuTukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
Chama kimemshinda? give me a break.mbowehawezi kuwa kama mandela chama tu kimemshinda itakuwa nchi?
Hata Lisu akisoma hii coment yako atakucheka kwa dharau sanaBaada ya kufa mkapa stateman aliyebaki ni mbowe! Eti unamfunga stateman alafu nchi iende thubutu!
Si mlisema amewakomesha wote hao na mkawa mnashangilia sana?Kaingizwa cha kike na mataga na the gang
Huwezi kum miss shetani hata siku moja.Kwahiyo unammiss Magu?
Hangaya mwenyewe juzi kasema bado wapo ndani ya serikali.Si mlisema amewakomesha wote hao na mkawa mnashangilia sana?
Ok. Kwahiyo the gang na mataga kumbe bado wako ikulu?
Basi endelea kufurahia utawala wa malaikaHuwezi kum miss shetani hata siku moja.
Poleusimlnganishe mandela na hawa jamaa mandela ile kichwa nyingine acha kabisa mbowe alishaonyesha udhaifu hata ndani ya chama chake kukatalia kwenye uenyekiti hataki wenzie warithi miaka nenda rudi mandela uliona anatabia hizo
Kumbe ni dhaifu? Kwanini asiwatoe?Hangaya mwenyewe juzi kasema bado wapo.
Kwani hao wafungwa wote walioko gerezani wao sio binadamu?? Mpaka doa lionekane kwa kufungwa kwa mbowe? Kama unampenda mtuu unamshauri kablaa hajapatwa na matatizo. Mbowe akionekana na kosa sheria ichukue mkondo wake bila upendeleo.Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.
Hajaingilia mahakama labda kama hujui huo mkondo wa sheria ulivyo. Mkondo huu unaanzia kwa vyombo vya serikali kukusanya ushahidi dhidi ya mtuhumiwa. Serikali ikishajiridhisha kuwa ushahidi dhidi ya mtuhumiwa umekuwa wazi ndipo serikali humkamata mtuhumiwa na kumpeleka mahakamani. Serikali haiwezi kupeleka mahakamani mtuhumiwa ye yote kama haijapata ushahidi ulio wazi dhidi yake. Baada ya kumfikisha mtuhumiwa mahakamani, mkondo wa kisheria wa mahakama huanza na hukamilika kwa maamuzi/ hukumu ya hakimu / jaji. Serikali huwa haiingilii huo mkondo (mchakato) wa kisheria wa mahakamani.Alipohojiwa na Kikeke BBC akasema ushahidi wa Mbowe gaidi uko wazi hakuingilia mahakama?
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka tangu mwanzo.Kwani hao wafungwa wote walioko gerezani wao sio binadamu?? Mpaka doa lionekane kwa kufungwa kwa mbowe? Kama unampenda mtuu unamshauri kablaa hajapatwa na matatizo. Mbowe akionekana na kosa sheria ichukue mkondo wake bila upendeleo.
AMINANyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.