Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana.
Karudishwa nchini hapa akaona busara ni kitu cha kukichezea na uchizi ambao unathibitishwa hadi sasa kutokana na matokeo yake ya yeye kufuatwa na watu wengi wenye mapungufu kama yeye ambao wanaona fujo na uvunjaji sheria ndio suluhisho la changamoto ambazo wanakumbana nazo na yeye mwenyewe
Kiongozi wao kwenda jela na wafuasi wake baadhi kufa.
Kama Raia natambua vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia na Mali zao natambua wanatambua wajibu wao na jinsi ya utendaji kazi wao kwa hiyo ukiacha agizo la Rais ambaye hakosei. Polisi sheria inawalinda inapotokea wamegoma kufanya kazi flani.
Lilitokea oktoba 2025 Tanzania ni sheria imefanya kazi yake na jukumu la Serikali akiwemo Rais ni kutekeleza matakwa ya sheria husika.
Mimi naomba niseme tu Gen Z wana uwezo gani wa kupambanua na kuleta suluhisho la changamoto za kimaisha wakati wao wenyewe ni watoto ambao wanatokana na changamoto za uzembe wa wazazi wao?
Jibu ni kwamba ni uhuni na uvunjaji sheria tu ndiyo matokeo yake. Kufa kila mtu atakufa kwa njia yake Mama Samia ni Mama sio yeye aliyewaua watoto wenu ni Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani.
Mtoto wako anatoka siku ya zile za fujo, uhuni, wizi na uvunjaji wa sheria nyingine nyingi na sio maandamano ambayo yako kisheria unamruhusu anaenda huko anashiriki unasikia kapigwa risasi unasema Mama Samia hafai na Mungu aliyeacha hilo litokee, anamchuliaje?
Haya mambo tuyatakari sana Watanzania.
Samia ni Mama na Rais wetu na ndiyo Mungu ametuweka hapo tuache chuki na tumpende msomi Mama wa
Watu na hawezi kuacha taifa hili litetereke kwa gharama yoyote hicho ndicho Comrade inatakiwa ukiheshimu na kukipenda.
Mama Samia nakuomba uendelee kupiga yako ,vichwa vyako tupo na tunaoona tupo.
Acheni ufala wote mnaomchukia Mama Samia. Mungu anasema tafuta kazi upate kazi,ufanye kazi na ndiyo upate riziki. Hata Mama Samia alianza kwa kutafuta. Acheni kudai masuluhisho yenu ya kifedha kutoka kwa Mama Samia yeye anafanya ya msingi tu.
Karudishwa nchini hapa akaona busara ni kitu cha kukichezea na uchizi ambao unathibitishwa hadi sasa kutokana na matokeo yake ya yeye kufuatwa na watu wengi wenye mapungufu kama yeye ambao wanaona fujo na uvunjaji sheria ndio suluhisho la changamoto ambazo wanakumbana nazo na yeye mwenyewe
Kiongozi wao kwenda jela na wafuasi wake baadhi kufa.
Kama Raia natambua vyombo vya ulinzi na usalama wa Raia na Mali zao natambua wanatambua wajibu wao na jinsi ya utendaji kazi wao kwa hiyo ukiacha agizo la Rais ambaye hakosei. Polisi sheria inawalinda inapotokea wamegoma kufanya kazi flani.
Lilitokea oktoba 2025 Tanzania ni sheria imefanya kazi yake na jukumu la Serikali akiwemo Rais ni kutekeleza matakwa ya sheria husika.
Mimi naomba niseme tu Gen Z wana uwezo gani wa kupambanua na kuleta suluhisho la changamoto za kimaisha wakati wao wenyewe ni watoto ambao wanatokana na changamoto za uzembe wa wazazi wao?
Jibu ni kwamba ni uhuni na uvunjaji sheria tu ndiyo matokeo yake. Kufa kila mtu atakufa kwa njia yake Mama Samia ni Mama sio yeye aliyewaua watoto wenu ni Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani.
Mtoto wako anatoka siku ya zile za fujo, uhuni, wizi na uvunjaji wa sheria nyingine nyingi na sio maandamano ambayo yako kisheria unamruhusu anaenda huko anashiriki unasikia kapigwa risasi unasema Mama Samia hafai na Mungu aliyeacha hilo litokee, anamchuliaje?
Haya mambo tuyatakari sana Watanzania.
Samia ni Mama na Rais wetu na ndiyo Mungu ametuweka hapo tuache chuki na tumpende msomi Mama wa
Watu na hawezi kuacha taifa hili litetereke kwa gharama yoyote hicho ndicho Comrade inatakiwa ukiheshimu na kukipenda.
Mama Samia nakuomba uendelee kupiga yako ,vichwa vyako tupo na tunaoona tupo.
Acheni ufala wote mnaomchukia Mama Samia. Mungu anasema tafuta kazi upate kazi,ufanye kazi na ndiyo upate riziki. Hata Mama Samia alianza kwa kutafuta. Acheni kudai masuluhisho yenu ya kifedha kutoka kwa Mama Samia yeye anafanya ya msingi tu.