Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,469
- 2,103
Ni heri piaNaona Amirat mkuu gwanda limemkubali kushinda hata CDF mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni heri piaNaona Amirat mkuu gwanda limemkubali kushinda hata CDF mwenyewe.
Sanaaa
Uwe na adabu zwazwa weweWamependeza sana hao wajeda ingewezekana jioni wahamie kwenye shuka 1
Mvua hazinyeshi.....ukame....changamoto ya umeme na maji....mataifa yafaidi huku wananchi tunaumia na
tozo
bei za vifurushi
ukosefu wa ajira
mafao kusubirishwa
bidhaa sokoni zimepanda
umeme unakatika ovyo
maji shida
kuna faida gani sasa kuifungua nchi kimataifa
🔥🔥😍😍Nilitamani sana kumuona rais wetu ndani ya kombati ya jeshi, hatimaye nimemuona. Tunampenda rais wetu.
Anarudisha Mabeberu..... Kuna mwili huko uliko utakuwa umejigeuza kwa maneno haya.
For any doubt refer to the heading of the thread
Mbona anao? Tena katinga wa kijani, fuatilia picha zingine utaona.kumbe ushungi unavulika eee!!!
Nilikuwa nikishangazwa sana na ushangiliaji kila rais anapopita sehemu!