The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.
Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.