SAMIA , HILI KA BEI YA MBOLEA HAULIONI?TUSIPANGUANE WAPI PAKUUZA MAZAO YETU

Peramiho yetu

JF-Expert Member
May 25, 2018
5,304
14,905
Jaman jaman jaman

Naaandika kwa uchungu hapa mbolea hazishikiki jaman mambo n Moto na serikal haitaki hata kutupa ruzuku

Najiuliza hi ndio ile nchi tuliokubaliana kuwa kilimo kiwe uti wa mgongo?

Nadhan serikal imejionesha ngoz yake halis kuwa MKULIMA N FALA NA BWEGE TU hana MCHANGO wowote kwa maoni Yao waonavyo wao

Sasa jaman pamoja na mbolea kupaa Bei tutalima hvyo hvyo kibishi na kwa uwezo wake Mola tutavuna maana lengo lenu tufe njaa kabisa

Wakati wa mavuno naomba waziri wa kilimo TUSIPANGIANE wapi na Nani wa kumuuzia tutauza kwa Bei zetu tuzitakazo

Kiukweli Hali n tete mama anakopa hela kwa ajil ya shule lakn anakata tozo hatujui inaenda wapi mmeshindwa kutumia hyo tozo mtupe ruzuku ya mbolea na pembejeo nyingne



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom