Samia aambiwe bunduki haikuzuia machafuko bali ulangai wa jeshi la wananchi

Samia aambiwe bunduki haikuzuia machafuko bali ulangai wa jeshi la wananchi

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,321
Reaction score
15,042
Hicho ndicho kilichozuia machafuko zaidi! Bunduki haijawahi, haitawahi na haiwezi kumzuia mwanadamu anayetaka kujinasua kwenye uovu wa mtesi. Jeshi la wananchi lilitumia mbinu ya ulaghai kuwashawishi wananchi warudi majumbani kisha wakawafanyia ambushi kitu ambacho hata wao wanalijua.
 
Back
Top Bottom