manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 496
- 473
M
Mambo ya kina lwanda magereKuna mkono wa mtu hapo
Mambo ya kina lwanda magereKuna mkono wa mtu hapo
Alfad asee...hizo gari nasikia watu wanazigeuzaga guest
Hii dunia yetu basiM
Mambo ya kina lwanda magere
DaahZipo confortable sanaaa
Ila jamii forums ina watu wengi wanaotumia uji kufikiri aisee yaani nimecheka sana jamaniAlfad asee...hizo gari nasikia watu wanazigeuzaga guest
Ndo hicho
Nakurekebisha:Alphad imechomoka tairi ikakosa muelekeo ndio ikagonga haisi ilio kua na abiria wanao toka hedaru kuelekea same, na hata hvyo tumepoteza majirani zetu na ndugu pia. Innalillah wainna ilayranjuin.
Pale tatizo ni upepoDuh hilo eneo mbona uono upo vizuri wanagongaje uso kwa uso?