Same: Watu 11 wafariki kwa ajali ya gari

Alphad imechomoka tairi ikakosa muelekeo ndio ikagonga haisi ilio kua na abiria wanao toka hedaru kuelekea same, na hata hvyo tumepoteza majirani zetu na ndugu pia. Innalillah wainna ilayranjuin.
Nakurekebisha:
Tairi haikuchomoka, bali ili-bust
 
Back
Top Bottom