chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,631
Nashauri kwamba,pamoja na juhudi kubwa za kuujenga uwanja wa kisasa wa mpira ambao utavutia wawekezaji
Nashauri kwamba lazima iwepo klabu kubwa ambayo itavutia mechi nyingi za kimataifa na mashabiki wengi.
Klabu pekee ambayo ni rahisi kueleweka no Yanga. Nashauri atumike makonda kuishawishi ihamishie makao makuu yake CHATO ili kuufanya uwanja huo uwe bize nankuvutia watalii na mashabiki duniani kote
Pia uwanja huo ufunguliwe na Barcelona au Real Madrid au Manchester City au United kutegemea ni timu ipi Mkuu wetu anaipenda
Kigumu Chama Tawala
Nashauri kwamba lazima iwepo klabu kubwa ambayo itavutia mechi nyingi za kimataifa na mashabiki wengi.
Klabu pekee ambayo ni rahisi kueleweka no Yanga. Nashauri atumike makonda kuishawishi ihamishie makao makuu yake CHATO ili kuufanya uwanja huo uwe bize nankuvutia watalii na mashabiki duniani kote
Pia uwanja huo ufunguliwe na Barcelona au Real Madrid au Manchester City au United kutegemea ni timu ipi Mkuu wetu anaipenda
Kigumu Chama Tawala