kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
DStv inaonyesha ligi ya England, EPL. Samatta kuchezea EPL kutaongeza watanzania ambao wataangalia EPL kwaajili ya kumuona kijana wao Samatat. Hii itaongeza wadau wa DStv, hivyo huu ni muda wa DStv kuangalia upya bei za vifurushi vyake ili watu wengi zaidi hata vijijini wamudu kulipia na kuangalia mechi za EPL kama ilivyo kwa Azam ilivyoenea hata vijijini kwasababu ya ligi ya Tanzania.