Samatta hii sasa sifa

Mmh, hivi Samatta ameingia Genk ligi yao ikiwa round ya ngapi?
 
Kijana anaipaisha bongo vibaya mnooo! Nadhani atakuwa anagoli kama 8 kwa just 2months

Safi sana, piga kazi Samamagoli
 
Mmh, hivi Samatta ameingia Genk ligi yao ikiwa round ya ngapi?
Ligi ya ubelgiji ni ligi yenye utofauti kidogo na ligi zingie
Ili kumpata bingwa huwa wanacheza wote round ya kwanza na ya pili nyumbani na ugenini. Sasa baada ya hiyo hatua huwa wanachukua sita bora (i.e wa kwanza hadi wa sita). Alafu wanapiga pro leage, wanapiga nyumbani na ugenini timu zote.

Kila team inayoigia nusu ya point ilizopata katika hatua ya kwanza mfano team A katika hatua ya kwanza ilikuwa na point 40 basi katika hatua ya sita bora itaanza na point 20!

Kwa hiyo katika hatua hii ndo inaenda kumpata bingwa atakaekuwa na point nyingi kuliko wengine.
 
Ligi ya ubelgiji ni ligi yenye utofauti kidogo na ligi zingie
Ili kumpata bingwa huwa wanacheza wote round ya kwanza na ya pili nyumbani na ugenini. Sasa baada ya hiyo hatua huwa wanachukua sita bora (i.e wa kwanza hadi wa sita). Alafu wanapiga pro leage, wanapiga nyumbani na ugenini timu zote.

Kila team inayoigia nusu ya point ilizopata katika hatua ya kwanza mfano team A katika hatua ya kwanza ilikuwa na point 40 basi katika hatua ya sita bora itaanza na point 20!

Kwa hiyo katika hatua hii ndo inaenda kumpata bingwa atakaekuwa na point nyingi kuliko wengine.
Asante sana mkuu EMI
Kwa sasa hivi wapo kwenye sita bora au bado wako kwenye ile round ya timu zote?
 
Asante sana mkuu EMI
Kwa sasa hivi wapo kwenye sita bora au bado wako kwenye ile round ya timu zote?
Sasa hivi wako kwenye sita bora na jana timu ya samata walicheza mchezo wa tatu.... timu yake hiyo iko katika nafasi ya nne kati ya hizo sita na ana point 30 akiwa nyuma ya point 38 na mtu anayeongoza ligi.
 
Sasa hivi wako kwenye sita bora na jana timu ya samata walicheza mchezo wa tatu.... timu yake hiyo iko katika nafasi ya nne kati ya hizo sita na ana point 30 akiwa nyuma ya point 38 na mtu anayeongoza ligi.
Thanks,
Nilitaka kuona bado game ngapi ili kuona iwapo Samatta anaweza orodha ya wafungaji bora katika ligi yao
 
Thanks,
Nilitaka kuona bado game ngapi ili kuona iwapo Samatta anaweza orodha ya wafungaji bora katika ligi yao
Sidhani kama anaweza kuwa miongoni mwao maana kwa hesabu za haraka timu ziko katika round ya kwanza na kila timu kufikia saa 6 leo zitakuwa zimecheza michezo 3 kila moja na zimebaki mechi 2 za round ya kwanza afu jumlisha na mechi 5 za round ya pili kwa maana hiyo kila team imebakiza mechi 7!

Sijajua utaratibu wa kuwapata wachezaji bora wa ligi hiyo kama huwa wanachukua ligi nzima au 6 Bora tuu!
 
Sidhani kama anaweza kuwa miongoni mwao maana kwa hesabu za haraka timu ziko katika round ya kwanza na kila timu kufikia saa 6 leo zitakuwa zimecheza michezo 3 kila moja na zimebaki mechi 2 za round ya kwanza afu jumlisha na mechi 5 za round ya pili kwa maana hiyo kila team imebakiza mechi 7!

Sijajua utaratibu wa kuwapata wachezaji bora wa ligi hiyo kama huwa wanachukua ligi nzima au 6 Bora tuu!
Asante sana mkuu, hebu tusubiri tuone ila naamini ana wastani mzuri wa ufungaji kwa game alizokwisha cheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom