Limbani
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 1,438
- 442
Wewe ndio umepotea kabisa unafikiri uchunguzi ukifanyika wakikuta zina mionzi watakuambia?watakupiga fix utulie.mambo yanaenda kimagambamagamba tu,hii ni TZ bwana.
Sasa tufanyaje mkuu? nadhani wadau walaji wa samaki na sisi tuchukue sampuli zetu tupeleke maabara huru kwa uchunguzi zaidi! maana hapa jibu lolote litakalotoka hatuwezi amini... Labda waseme wana sumu hivyo warudishwe wanakotoka!!