PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Duh!!!Kama kuna watu wanaandaa chakula kichafu ni mama ntilie, kuna siku nilimuona mmoja anaosha vyombo kwa kutumia maji ya mvua yanayotiririka chini.
Duh!!!Kama kuna watu wanaandaa chakula kichafu ni mama ntilie, kuna siku nilimuona mmoja anaosha vyombo kwa kutumia maji ya mvua yanayotiririka chini.
Naamini katika mazingira hao ni kwamba wamekufa,
Hivi kweli mtu unakuta samaki kafa mwenyewe unabeba ukalee???
Huku ni kuendekeza njaa kulikopitiliza,
unafika nyumbani na lijibesi lako unajifanya umetoka kununua samaki kumbe umeokotaaa, ukiua familia???
Eti familia imelazwa au imekufa(yote hatuombei yatokee) kisa pelege????
Sawa kabisa.hicho kipindi wanaita kiferezi.ata mwaka huu mwezi wa pili na tatu walikufa sangara wengi sana.Hilo tumezoea kule ziwani, kuna kipindi samaki hasa sangara huwa wanaelea, ni kwenda kukamata tu unaenda na kitoweo nyumbani bila nyavu yaani. Wenyewe wanasema wanakuwa wamekosa hewa ya kutosha ndani ya maji ila kwa baharini sina experience.
Sio vzur mkuu..swal gan hlo...hahahaSijawahi pata samaki aliye hai
Nilipaswa kupost jana usiku sorryAhsante kwa taarifa, ila leo ni tarehe 22 au ni taarifa ya jana?
Hivi kampuni lenu la mshanajr mpo moderators wangapi?Nilipaswa kupost jana usiku sorry
WoteHivi kampuni lenu la mshanajr mpo moderators wangapi?
Wanne Tu??nlijua Ni 10+Wote
Tunafanya cloningWanne Tu??nlijua Ni 10+