Samaki waelea ufukweni Dar. Serikali yachunguza chanzo…

Naamini katika mazingira hao ni kwamba wamekufa,

Hivi kweli mtu unakuta samaki kafa mwenyewe unabeba ukalee???
Huku ni kuendekeza njaa kulikopitiliza,

unafika nyumbani na lijibesi lako unajifanya umetoka kununua samaki kumbe umeokotaaa, ukiua familia???
Eti familia imelazwa au imekufa(yote hatuombei yatokee) kisa pelege????
Wanauza. Binadamu wamekuwa wanyama kwenye mambo ya fedha. Tena wanauza bila kupepesa macho wala kujali kama wanaweza kuua binadamu wengine.
 
Ukiwa mtu mwenye kipato, unaeweza kumudu chakula bila wasiwasi, ni rahisi sana kutoa kauli ya namna hiyo.

You sound like a highly privileged black kid!
Trueee! Tunadharauliana sana hapa nchini yani mtu mwenye nafasi ya kupeleka surplus kwake anamuona mbangaizaji kama hana akili timamu!
 
Wananchi wenye njaa kali wamejipatia kitoweo, mgaagaa na upwa hali wali mkavu
Riziki ya mbwa iko miguuni mwake bwana wakati unatembea zako ufukweni kupoteza stress unakutana na vi “Piranha” unaokota na kwenda nao home kujipatia lishe bora😅😅😅
 
Riziki ya mbwa iko miguuni mwake bwana wakati unatembea zako ufukweni kupoteza stress unakutana na vi “Piranha” unaokota na kwenda nao home kujipatia lishe bora😅😅😅
Maisha ya bongo raha sana, samaki wanakufuata wenyewe kutoka kina kirefu katikati ya bahari 🤣
 
Samaki wa Dar ni Kama wanaume wa dar, husumbuki unajikamatia kwa ulaini bila ndoano wala nyavu.
 
Trueee! Tunadharauliana sana hapa nchini yani mtu mwenye nafasi ya kupeleka surplus kwake anamuona mbangaizaji kama hana akili timamu!
Sure bro. Sihalalishi watu kula vyakula visivyokua salama, ila natambua uwepo wa watanzania wenzetu wenye hali mbaya kiuchumi na njaa kali. Mtu ameshinda njaa siku nzima, na haelewi kama atapata chochote, then anakutana na hao samaki. Unadhani atafikiria mara mbili?

Kuna watu hawaijui njaa, hao ndio wanatoa kauli za kishujaa humu!
 
Sure bro. Sihalalishi watu kula vyakula visivyokua salama, ila natambua uwepo wa watanzania wenzetu wenye hali mbaya kiuchumi na njaa kali. Mtu ameshinda njaa siku nzima, na haelewi kama atapata chochote, then anakutana na hao samaki. Unadhani atafikiria mara mbili?

Kuna watu hawaijui njaa, hao ndio wanatoa kauli za kishujaa humu!
Hii kitu sio Hapa Tanzania tu.
Imetokea hata huko Amerika Tampa Florida. Chanzo ni kitu inaitwa kitaalamu 'red tide'
Unaweza kusoma andiko la
julian.mark@washington.com
Ya July 20,2021.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom