Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Natafuta samaki wabichi (ambao watakuwa wamegandishwa kwa export) wa aina zote, lakini hasa tilapia, kutoka Tanzania. Kiasi kikubwa cha samaki kinahitajika kwa muda mrefu na wa kudumu. Wale ambao wapo makini katka kufanya biashara hii naomba tafadhali wanitumie PM.