Lady Unbreakable
Member
- Feb 20, 2013
- 33
- 5
Jamani samaki wa salmon anaitwaje kwa kiswahili
Jamani samaki wa salmon anaitwaje kwa kiswahili
Kwa mujibu wa kamusi ya TUKI, hiyo chini ndio tafsiri yake
salmon n samoni; samaki mkubwa mwenye mnofu mwekundu.
hili ndo jibu sahihi maana hawapatikani kwetu hawa,.labda tungewaita sangara kwa huku hahahah
Wanaitwa samaki wa''Magufuli ''au jodari kam sijakosea
Vibua wanaitwa SardinesJodari ni Tuna, so far najua salmon yuko kwenye jamii ya vibua au chuchungi
Thank you jamani. nimegugo nikapata anaitwa PAPA SAMAKI. acha nicheke,hahahaha!:smile-big:
asanteni sana. naona nitachukua hilo jibu la kamusi
Life is sooooooò BEAUTIFULKwa mujibu wa kamusi ya TUKI, hiyo chini ndio tafsiri yake
salmon n samoni; samaki mkubwa mwenye mnofu mwekundu.
Wapi naweza pata vifaranga vyake?nimepata mteja wa samaki hawa lakini sifahamu jina lao kwa kiswahili msaada please
msalimie mumeo Bujibuji mwambie mbona siku hizi haji tena Sinza Beach Kidimbwi?nimepata mteja wa samaki hawa lakini sifahamu jina lao kwa kiswahili msaada please
Yes!Jodari ni Tuna, so far najua salmon yuko kwenye jamii ya vibua au chuchungi
Rusheni picha tuone kisha tutawaambia kama anaitwa mkundani, chewa, changu mwekundu, koana n.k.