Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.
Kuna hii tabia ya watu wa mikoani ambapo hakuna ziwa Wala bahari Wana tabia ya kuagiza vitu utadhani vinakwenda kuokotwa tu
Unakuta mtu anakwamba ukirudi kutoka Mwanza naomba uniletee samaki na dagaa kwani wa uko ni watamu Sana
Pengine hata shilingi mia moja hajakupa
Maisha ya 1990 siyo sawa na maisha ya 2000, tubadilike ukitaka kitu kutoka sehemu fulani toa pesa uletewe
Ni Mimi Karue kutoka Bugolola Ukerewe
Kuna hii tabia ya watu wa mikoani ambapo hakuna ziwa Wala bahari Wana tabia ya kuagiza vitu utadhani vinakwenda kuokotwa tu
Unakuta mtu anakwamba ukirudi kutoka Mwanza naomba uniletee samaki na dagaa kwani wa uko ni watamu Sana
Pengine hata shilingi mia moja hajakupa
Maisha ya 1990 siyo sawa na maisha ya 2000, tubadilike ukitaka kitu kutoka sehemu fulani toa pesa uletewe
Ni Mimi Karue kutoka Bugolola Ukerewe