Mkopo hautolewi kwa ubaguzi wa form 6 na diploma, unatolewa kwa ubaguzi
Omba mungu mambo yakuendee fresh hayo mambo ya 6 na diploma achananayo..Samahani wakuu,
Naomba kuuliza hivi: Kwa mfano ulienda chuo tu bila kupitia 5 'na 6; unaweza kupata mkopo? Na mkopo hutolewa kwa ngazi ya degree tu au?
Natanguliza shukrani