Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,210
- 12,913
Mh. Rais naomba kukuomba radhi kuwa kura yangu yamkini usiipate happy October utakapo fanyika uchaguzi mkuu.
Mh Rais, Juzi wakati narudi nyumban majira ya saa 22:00 nilikutana na vibaka na wakafanikiwa kunipiga panga 2-3 kichwani huku wakichukua kila kitu nilichonacho ikiwemo na wallet iliyokuwa imebeba kitambulisho cha kupigia kura ambacho licha ya kuwa na matumizi mengine lakini kubwa ilikuwa kura yako hapo October.
Nimechukua hatua ikiwemo kureport Police Tabata na tayari nina RB japo Sina hakika kama kwa muda uliobaki nitafanikiwa kupata kitambulisho changu na nikakitumia ipasavyo.
Kwa hayo machache Mh Rais nakutakia ushindi wa kishindo hapo October kwenye uchaguzi mkuu.
Ahsante
Mh Rais, Juzi wakati narudi nyumban majira ya saa 22:00 nilikutana na vibaka na wakafanikiwa kunipiga panga 2-3 kichwani huku wakichukua kila kitu nilichonacho ikiwemo na wallet iliyokuwa imebeba kitambulisho cha kupigia kura ambacho licha ya kuwa na matumizi mengine lakini kubwa ilikuwa kura yako hapo October.
Nimechukua hatua ikiwemo kureport Police Tabata na tayari nina RB japo Sina hakika kama kwa muda uliobaki nitafanikiwa kupata kitambulisho changu na nikakitumia ipasavyo.
Kwa hayo machache Mh Rais nakutakia ushindi wa kishindo hapo October kwenye uchaguzi mkuu.
Ahsante