GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Hivi majuzi niliona mahala na kusikia kwingineko kuwa Tanzania imepeleka Shehena za Mahindi ya Msaada kwa Waathirika wa Kimbunga Freddy huko nchini Malawi kama sehemu ya kuonyesha ujirani mwema na kupata Thawabu zaidi kwa Mwenyezi Mungu.
Sasa nami GENTAMYCINE nauliza je, kutoa Msaada wa Chakula kwa Jirani yako mwenye tatizo (njaa) wakati hata wewe pia kwako kuna njaa tukuka katika baadhi ya maeneo, ni kutafuta Thawabu kwa Mola au kuonyesha Unafiki?
Nitashukuru nikielimishwa tu zaidi.
Sasa nami GENTAMYCINE nauliza je, kutoa Msaada wa Chakula kwa Jirani yako mwenye tatizo (njaa) wakati hata wewe pia kwako kuna njaa tukuka katika baadhi ya maeneo, ni kutafuta Thawabu kwa Mola au kuonyesha Unafiki?
Nitashukuru nikielimishwa tu zaidi.