Samahani kwa Kikwete na wana JF

Mwafrika wa Kike

JF-Expert Member
Jul 5, 2007
5,185
56
Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
 
Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.

worthless.gif
 
Huyo Kikwete sio mwanachama hapa JF ukitaka kumuomba msamaha mpigie simu, mtumie email, barua au njia nyingine ili apate huo "msamaha"

Halafu unaomba msamaha au unatoa kejeli? picha hakuna na unang'ang'ania unazo, kama unazo ushapewa rukhsa mwaga hapa...

Nilisema mapema Watson is right....
 
Umesamehewa Mwafrika, ingawa niliambulia X pamoja na kukaa muda mrefu nikisubiri
 
That is great mwafrika wa kike, japokuwa wengine hatukuona hizi picha. I am so pleased with your words. Huo ndio utanzania, umeonyesha njia, Tuendelee na kazi, ile ya kutafakari!
 
Huyu anategea kupata kazi ya kudizaini website ya Ikulu na serikali sasa anajulikana kama ni frequent member humu lakini for unknown reason naona pamoja na kumkiss Mwanakijiji's ass lakini Mwanakijiji jana kamruka sasa kilichobaki anajaribu kusalvage whats remained...shame really...this Dude was in LOVE na MWANAKIJIJI sometimes back na ushahidi huu


HOMOSUSPECT-2.jpg
 
Mwafrika wa kike, wewe umeshatekeleza wajibu wako, wasiotaka haya wabaki na kinyongo chao, wanaweza pia wakameza... By the way, you just showed your civilisation, you would have just kept quite as many do! Lakini wapo watakaokubeza, nawe wabeze. Otherwise, endelea kumkoma nyani hapa, tayari wengine tume-miss mchango wako in the last 24h that we didnt see u here!
 
Umesamehewa Mwafrika, ingawa niliambulia X pamoja na kukaa muda mrefu nikisubiri

That is great mwafrika wa kike, japokuwa wengine hatukuona hizi picha. I am so pleased with your words. Huo ndio utanzania, umeonyesha njia, Tuendelee na kazi, ile ya kutafakari!

Hapana bwana,NO way!

Mwafrika wa kike, wewe umeshatekeleza wajibu wako, wasiotaka haya wabaki na kinyongo chao, wanaweza pia wakameza... By the way, you just showed your civilisation, you would have just kept quite as many do! Lakini wapo watakaokubeza, nawe wabeze. Otherwise, endelea kumkoma nyani hapa, tayari wengine tume-miss mchango wako in the last 24h that we didnt see u here!

worthless.gif
 
barua kwa mh. kikwete unaweza kupost hapa
"naombamsamahamheshimiwakikwete.co.tz"

Zaidi ni vema ulivyojirudi
 
Huyu anategea kupata kazi ya kudizaini website ya Ikulu na serikali sasa anajulikana kama ni frequent member humu lakini for unknown reason naona pamoja na kumkiss Mwanakijiji's ass lakini Mwanakijiji jana kamruka sasa kilichobaki anajaribu kusalvage whats remained...shame really...this Dude was in LOVE na MWANAKIJIJI sometimes back na ushahidi huu


HOMOSUSPECT-2.jpg

..nimekumbuka lamu ghafla!hasa enzi zile chakachaka lilipovuma!
 
Tangu nijiunge na hii JamboForums, sijakutana na thread niliyoshindwa kuelewa mantiki yake kama hiyo mnayodai ya kashfa ya ngono ya JK ambayo watu wamefanyamo mambo ya matusi makubwa kuliko wanayemtuhumu. Sijui ndio kumkoma nani wapi sijui! Upumbavu mkubwa, sijapata kuona, mnisamehe tu kwa maneno haya lakini hakika nimeudhika.
 
Tangu nijiunge na hii JamboForums, sijakutana na thread niliyoshindwa kuelewa mantiki yake kama hiyo mnayodai ya kashfa ya ngono ya JK ambayo watu wamefanyamo mambo ya matusi makubwa kuliko wanayemtuhumu. Sijui ndio kumkoma nani wapi sijui! Upumbavu mkubwa, sijapata kuona, mnisamehe tu kwa maneno haya lakini hakika nimeudhika.

..usiumize kichwa kwa issue ile iliyopita!

..yawezekana kulikuwa na pepo mbaya angani!
 
Mambo mengine bwana, bure ghali!!!!.Mmesema haya ni mapambano ya kifikra, kumbe watu wenyewe fikra zenu zipo kwenye crisis.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom