number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,462
Inategemea na kozi kama za hovyo hiyo 3 anaenda
Hata engineering unaenda ndugu
Inategemea na kozi kama za hovyo hiyo 3 anaenda
Unasema course zote gpa ya 3.0 wanakwenda kusoma? Zingatia course zote?
Udsm wanataka 3.5 GPA
GPA ya kuanzia 3.5 ni kwa kozi za Afya.3.0 mi ndo nipo chuo hunanibishia we hunaonekana umemaliza kitambo hata haujui
Vyuo vyote vya Afya...GPA inatakiwa kuanzia 3.5Zote mkuu unaenda chuo gani kina gpa zaidi ya 3.0 tupe maelezo labda
Sio kwel wamekukataa tu tena pale kama unandugu yako ni prof hata 2.7 gpa unaingia nimeona kwa engineering nadhani serikali wamekomaa gpa kubwa kwaajili ya idadi ya mkopo
Hunanibishia ndo kitu gani mkuu
Chuo umeingia mwaka gani?
Kwa uandishi wako huo hakuna chuo hapo
Sikujua hili mkuu ngoja nifuatilie mzeeZote mkuu unaenda chuo gani kina gpa zaidi ya 3.0 tupe maelezo labda
form four yako ilikupeleka hadi diploma, baada ya hapo GPA 3.0 ndio inakupeleka degree!! wewe una GPA ya ngapi?Naombeni msaada hapo
Course ya ovyo ndo ipi wabongo mnazarau sanaInategemea na kozi kama za hovyo hiyo 3 anaenda
Hata udsm ni kuanzia gpa ya 3.0 sema wao kwenye kuwafanyia watu mchujo wakuselect nani wamchukue kwa sababu ya maombi mengi ndo wanawafanyia competition kwa matokeo ya form 4 na 6Udsm wanataka 3.5 GPA
Lazima uwe ulikua na sifa za kusoma Diploma na kigezo cha Kwanza ni lazima uwe ulipata minimum qualification Form 4 Walau pass 4(D -4) Au credit 3(C-3)
Kuna vyuo viliwadahili wanafunzi wasio na sifa na wanadiploma.
Ukiomba AVN NACTE utaambiwa Cheti chako cha Form 4 hakikukuruhusu kusoma Diploma utapaswa kuingiza Cheti ulichoreseat au ukareseat ndio uombe AVN NACTE ukiwa na sifa
Aya bhana we uliyesoma MITTusimbishie sana maana siku hizi vyuo viko vingi sana.
Usikute anasoma Zoom polytechnic au Montessori
Kwa mfano kozi za engineering wanataka GPA ngapi ili uingie UDSM?GPA ya kuanzia 3.5 ni kwa kozi za Afya.
Kuanzia 3.0 ni kozi zingine.
Aisee we umewajibu vizuri nimegundua kuna watu hata kitu hakijui ila akiulizwa anajibu na anarumbana kabisaMbona mnabishana kama watoto wakati mambo yako wazi kuna vigezo vya TCU alafu kuna vigezo vya ushindani, vigezo vya TCU GPA 3.0 kwa diploma na GPA 3.5 kwa diploma kozi za Afya, ukitoka hapo kuna vigezo vya ushindani ambavyo vyuo hufanya kupata wanafunzi bora hapa ndio unaweza kuwa na GPA kubwa ukakosa sababu wenzio wana GPA kubwa kuliko yako au ukawa na GPA kubwa lakini wenzio wana GPA kubwa na matokeo yao ya form iv yalikuwa mzuri au unaweza kukosa sababu kuna baadhi ya watu wanajuana na vyuo japokua wanavigezo lakini umewapita ufaulu nafasi wakapewa wao wewe ukaachwa, mfano ukifanya application UDSM wanaangalia na matokeo yako ya form four katika kukushindanisha na wengine , sio kwamba wew hauna vigezo bali wanachagua hiyo kama njia ya kupambanisha wanafunzi kusiwe na upendeleo, lakini pia ikitokea wenye ufaulu mkubwa wakachaguliwa multiple selection nafasi huwa zinabaki au kujaa kutegemea wengi wata confirm kwenda wapi, hivyo hizo nafasi kama zimebaki hata mwenye ufaulu mdogo lakini amefikia vigezo vilivyowekwa na TCU anachukuliwa kama nafasi bado zipo, chuo hakikatai wanafunzi ni kwamba wewe unakosa sababu wenzio wamefanya vizuri kuliko wewe na sio chuo lwamba kimekukataa.
Sikujua hili mkuu ngoja nifuatilie mzee
kama ni kweli hakuna mtu wa ajabu kama ndlichako
3.0Kwa mfano kozi za engineering wanataka GPA ngapi ili uingie UDSM?
Basi itakuwa wameshusha labda maana ilikuwa 3.5 miaka iliyopita.