Hapo ni halali kubezwa kabisa. Mi hainiingii akilini watoto kuwa katika hali hiyo katika nchi huru kama Uganda. Walaaniwe viongozi wao.AFRICA, AFRICA DIE ANOTHER DAY!! What we have seen is just a niche! makubwa yamejiificha tena mengi!! na angalia ni mzungu ndiye anaingilia kati kuokoa jahazi kama kawaida yao wanajenga news, ndiyo maana wanaendelea kutubeza wafrica.