Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Tunashukuru sana kwa nondo hizi. Tunaomba muendelee kuzidondosha, wakituibia wajue kuwa tunafahamu. 2005 ni tofauti sana na 2010 mbinu walizotumia 2005 sidhani kuwa zitawavusha 2010, itabidi wabuni zingine
Sasa suala hapa nikuwaumbua wasiendelee kutuibia au wawe wanabuni mbinu mpa kutuibia?