Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Kama unafanya hayo kwa pesa yako toka mfukoni haina shida, lakini kama unatumia pesa iliyotoka kwa mtu mwingine halafu uakamwacha ana njaa haipendezi.
Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Ninarithibitishia jukwaa hili kuwa yule ni yeye Salva Rweyemamu yule wa magogoni halisi!Mmmmh kwa mara ya kwanza nawezasema kuwa pale kulikkua na namna, mbona nimekuta kaweka za ponography? na majibu ya maswali magumu yamewekwa kirahisi vile? sorry, hivi kuna namna ingine ya kututhibitishia kuwa ni yeye? Mpwa wangu JB nakuamini sana, hebu nithibitishie hili hata kama ni kwenye PM kama kawaida yetu, thanks, NASUBIRI Mkuu hoja toka kwako ili niandamane mwezi huu nianze kutokulipa na kukatwa kodi kaji-salary kangu kwajili ya matanuzi ya wachache, si heri angenunua kitimoto tukala wote? k
aisee! kazi si haba, ile picha pale pembeni sijui ni mke wake?
Sio mkewe yule, mkewe ni mweusi!!
Mkuu hii ni Photoshop
te tehe ehe e Salva kadata
Hicho kimada anakichakachua kwa muda hapo yawezekana alikuwa kwenye moja ya ziara na jk.Kudos SalvaSio mkewe yule, mkewe ni mweusi!!
Imenishangaza sana ktk huu msafara ambao sababu ya kuwahi huku haina tija kwa taifa letu kabisa!
Dalili za burudani ktk msafa huu niliziona tangu awali na nikapenyeza ushauri wa kupinga kuwahi bila mafanikio.
Lakini jana ktk mazingira nisiyo amini baba riz1 akatuamuru tumpeleke akale bata kwenye Kasino la maraha lililopo ktk jiji la Perth hapa Australia.
Hali ndiyo hiyo watanzania wenzangu hakuna cha mikutano ya wabeba box wala nini mkutano kamili unaaza ijumaa ila sisi ni bata kwenda mbele!
Bahati mbaya sikuwa na camera lakini wale wenye account ya twitter wamfollow ***** Salva maana yeye ndie alikuwa na kamera na tuliporudi hotelini akawa anaziweka twitter bila hata aibu!