Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Kwa nini kaandika barua kwa Kiengereza? Ikiwa sisi wenyewe tunashindwa kuitikuza lugha yetu, tunategemea nani atufanyie?
Kwani nshomile huwafahamu kwa majigambo
Kwa nini kaandika barua kwa Kiengereza? Ikiwa sisi wenyewe tunashindwa kuitikuza lugha yetu, tunategemea nani atufanyie?
Aseme amefukuzwa kinyemela na sio kutudanganya hapa....
Inasemekana Magufuli hataki kabisa huyo kiumbe.
Silva wahi faster Msoga mkaendelee kupiga dili na yule checkbob wa kikwere.
Ruge na timu yake + wanaubongo wa fleva + bongo movie muda wao wa mavuno umekwisha, walizoea kupiga hela ndefu ya serikali sasa mwisho umewadia. tukutane uraiani
Kwa nini kaandika barua kwa Kiengereza? Ikiwa sisi wenyewe tunashindwa kuitikuza lugha yetu, tunategemea nani atufanyie?
Mbona ipo humu sana
google 'magufuli awashitaki waandishi wa habari'
Salva na Magufuli picha haziendi
mwingine ni mkuu wa wilaaya Muhingo Rweyemamu
wana historia ya beef na Magufuli....ilikuwa lazima aachie ngazi
Mkuu inaonekana huyu Magufuli picha haliendi na wahaya...
Naiona Clouds Media ikianza kustruggle sasa..
Sasa mkuu hyo Salva akitokea Whitehouse ana kwenda Bonga bar bar kuchezea papuc unafikiri akitoka hapo atakuwa up2dated tenaHii idara ilikuwa ni kati ya idara zilizofanya vibaya katika utawala wa JK. Haikuwa updated. Haikuwa kisasa kabisa. Idara ya Kenya inafanya vizuri hadi inavutia. Taarifa zinatolewa kwa wakati na sahihi si kwa mipasho. Tembelea page ya Rais Kenyata ndio utajua watu wanafanya kazi.