Saluni za kunyoa Sinza, hii sio namna ya kufanya biashara

lolipo

JF-Expert Member
Apr 6, 2018
739
912
Hili ni kwa Wamiliki wa Saloon za Wanaume Sinza, vijana na Mabinti wenu wanawaharibia Biashara, Mimi nilikuwa ninaishi Dar na nikaamia Arusha, na ninakuja Dar mara nyingi maana bado nina nyumba na mradi Dar!

Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.

Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this, tukambana akaachia njiani

Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...

Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....
 
Hili ni kwa Wamiliki wa Saloon za Wanaume Sinza, vijana na Mabinti wenu wanawaharibia Biashara, Mimi nilikuwa ninaishi Dar na nikaamia Arusha, na ninakuja Dar mara nyingi maana bado nina nyumba na mradi Dar!

Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.

Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this!

Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...

Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....



Kwa akili za wanawake wa Dar usikute kishawaambia wenzake kuwa wewe ni mse.nge. Ndiyo maana unakuta wakati mwingine mwanaume anahamua kusodomize mwanamke ili aheshimike mtaani.
 
Hili ni kwa Wamiliki wa Saloon za Wanaume Sinza, vijana na Mabinti wenu wanawaharibia Biashara, Mimi nilikuwa ninaishi Dar na nikaamia Arusha, na ninakuja Dar mara nyingi maana bado nina nyumba na mradi Dar!

Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.

Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this!

Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...

Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....
Unanyoa kichwa na ndevu unalipa sh 8000? hiyo salon w
ina vinyozi malaika? duuh wakati 1500 tu una nyoa na unatoka smart kabisa hakuna michubuko wala nini.
 
Hili ni kwa Wamiliki wa Saloon za Wanaume Sinza, vijana na Mabinti wenu wanawaharibia Biashara, Mimi nilikuwa ninaishi Dar na nikaamia Arusha, na ninakuja Dar mara nyingi maana bado nina nyumba na mradi Dar!

Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.

Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this!

Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...

Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....
Huyo Dada analipa?
 
Ulivyokubali kuvuliwa shati ulitegemea nn?..tatizo naona imekuwa hiyo bill uliyopewa mwanaume kama hutaki kufanyiwa kitu usiendelee kukaa hapo unashikwashikwa halaf unakuja kulalamika humu
Dah...walau nusu ya wanawake wangeijua na kuitumia nguvu yao dhidi ya wanaume....tungepata tabu sana....
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom