Hili ni kwa Wamiliki wa Saloon za Wanaume Sinza, vijana na Mabinti wenu wanawaharibia Biashara, Mimi nilikuwa ninaishi Dar na nikaamia Arusha, na ninakuja Dar mara nyingi maana bado nina nyumba na mradi Dar!
Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.
Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this, tukambana akaachia njiani
Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...
Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....
Ninaamini ni mteja mzuri wa saloon kwa hiyo nikipenda saloon ijue imepata mteja mzuri and reliable, ila kwa kweli saloon za Dar na Arusha tofauti kubwa sana! Nimeingia Saloon Sinza, nimenyoa safi, baada ya kunyoa naingia kuoshwa, dada anaanza nivua shati.
Nikamwambia huyo Dada, ninaosha tu kichwa, akanambia utachafua shati, nikakubali, kilichofuata nakuta kaanza kufanya massage mgongoni, Nikamwambia, Miss I insist siitaji kufanya kitu zaidi ya kuosha, akanambia maji bado hayajapata joto, so huwezi kaa tu, nikamwambia, I am not asking for this, tukambana akaachia njiani
Akaendelea kumassage mgongo, I was embarased, baada ya mda anataka kumassage tumboni, nikakataa kabisa, basi akaniosha, wakati natoka, nilikuwa nimenyoa nywele na ndevu so nina bill ya 8000, hili halina shida, but naambiwa nia: 18.000, kwa ajili ya ule usumbufu alionifanyia mgongni...
Nilichukia sana, sio hata sababu ya 10.000, but hii si namna ya kufanya biashara, hata kama twatafuta pesa ni lazima tuweke ustaarabu na kuheshimiana kwenye hizi saloon, nawashauri wamiliki watafute solid representative kwenye saloon zao ili kulinda haya....