safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Sio kweli mzee.hapo amepandishwa ili kuipa heshima chombo/mhimili anaoenda kuuongoza, maana haiwezekana akaenda takukuru na cheo kidgo ndani ya polisi kwa kuwa bado atakuwa anawa salute ma ofisa wengine ndani ya polisi wakati tayari ana nafasu kubwa ndani ya chombo kingine, ndo maana akapewa cheo kikubwa ndani ya polisi baada ya igp yeye ndo anafuata kwa sasa ndani ya polisi...inampa heshima kwa ma ofisa wote ndani ya jeshi la polisi kasoro igp..
Kwenye jeshi kuna mtu ambae mna cheo kimoja lakini yeye katangulia kupata cheo hiko,mtu huyu utaanza wewe kumsalimia kwa sababu huko majeshini mdogo ndo huanza kusalimia na mkubwa kazi yake kuitikia.
Kwa hiiyo mzee hamduni atakuwa amewakuta watu wengi tu ambao wamemtangulia kicheo jambo ambalo litamfanya yeye aanze kuwapigia saluti wao.
Mfano yule naibu wa IGP akikutana nae atadondoka salute tu na ishu ikawa kama hivyo yaani.
Wataalamu wenyewe wa majeshi watanisahihisha kama nimekosea