Alhamdulillahi
Uislam unatamalaki
Uislam unatamalaki
Wivu wa chatoAnaonekana kujielewa sana,kama vp watuletee na CDF muarabu wa Oman kabisa
Si kweli ulivyosema baada ya IGP yeye ndiye anayefuata Polisi kuna makamishna wengine kama kamishna wa intelegensia,kamishna wa utawala,kamishna anayehusika na masuala ya operesheni, kamishna wa upelelezi,kamishna wa Zanzibar,kamishna wa Polisi jamii.hapo amepandishwa ili kuipa heshima chombo/mhimili anaoenda kuuongoza, maana haiwezekana akaenda takukuru na cheo kidgo ndani ya polisi kwa kuwa bado atakuwa anawa salute ma ofisa wengine ndani ya polisi wakati tayari ana nafasu kubwa ndani ya chombo kingine, ndo maana akapewa cheo kikubwa ndani ya polisi baada ya igp yeye ndo anafuata kwa sasa ndani ya polisi...inampa heshima kwa ma ofisa wote ndani ya jeshi la polisi kasoro igp..
Hii ni JF I'd feki ndio zimetawala, Kuna watu wa Kila aina...unaweza kumtukana member humu kumbe ni Baba yako,Boss wako,Kamanda wako, Waziri wako ama kiongozi yoyote yule wa juu.Makao makuu ya polisi wewe ulienda kufanya nini?
Mpe hongera mzee wako kwa kutengeneza. Kijana vizuriHuyu jamaa nakumbuka ametoka depo mwaka 1999,kituo chake cha kazi kilikua arusha, mzee wangu ndio akawa anamfundisha kazi.
Kuna watu hawakuelewi kabisa ukisema Sabaya alikua "anapelekesha" wanamuona ni mtoto makini wa baba. Hii inatokana na kwamba hata baba mwenyewe hataki kusikia kwamba kuna mahala alifanya vibaya. Wao kwao wanaona huyo ni baba bora kuwahi kutokea, na kwamba hatatokea mwingine kama huyo. Wamegoma kukubali.Hamduni aligoma kabisa kupelekeshwa pelekeshwa na Ole sabaya pale Kilimanjaro!
Kwani wwe hujui kurasini kuna office gani!?Alikuwa anafanya nini kurasini?
Labda alikua ananichunguza Mimi!!?Alikuwa anafanya nini kurasini?
Rangi za Kiburushi zinamchanganya,alizowea kuona Makamanda Weusi tii!!Umenichekesha sana sana Mkuu. Umeongea kwa kususa .
sifa nyingine za kijinga.Huyo ni kachero mmoja hatari.
Analazimisha. Hawa jamaa Sukuma gang kumbe ni taabu kweli.Tabora ni Kanda ya Ziwa gani?
usipende kuelezea kila kitu hata usivyokuwa na uhakika navyo.
usivyovijua haimaanishi ni siri,na unavyovijua haimaanishi ni haki yako kuvijua..
ndio sababu umeambiwa huelewi unachoandika,kama ni vyeo hata hivyo vya jwtz vina siri gani??Sasa mkuu kupanda kutoka ACP mpaka SACP kunahitaji siri gani? Na hiyo siri ni kwa ajili ya nini ?
ndio sababu umeambiwa huelewi unachoandika,kama ni vyeo hata hivyo vya jwtz vina siri gani??
Pamoja na kuteuliwa kuwa mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa pia bwana Hamdun amepandishwa cheo kutoka kuwa ACP mpaka kuwa CP ikiwa na maana amerukishwa vyeo vya SACP na DCP je ndio IGP ajae baada ya kamanda Sirro kustaafu?
Ngoja tusubiri tuone
Hamduni aligoma kabisa kupelekeshwa pelekeshwa na Ole sabaya pale Kilimanjaro!
“Koko tena”Huyu mwarabu koko namkubali sana nadhani anafaa kuwa IGP baada ya sirro kustaafu.
Rank za jeshi zina siri gani? Mbona zinawekwa mabegani tunaziona? Hata historia ya kupanda rank kwa askari kuna siri gani? Hueleweki unataka kueleza nini?Nikianzia na TISS kwanza TISS yeyote yule hata mfagiaji au daktari hatakiwi ajulikane kuanzia mwanzo
JWTZ , Nao pia hawatakiwi wajulikane sababu TISS na JWTZ ni interdisciplinary yaani nao pia ni watu nyeti i.e jeshini hata private tu anaweza kutumiwa na majasusi
Rank za jeshi zina siri gani? Mbona zinawekwa mabegani tunaziona? Hata historia ya kupanda rank kwa askari kuna siri gani? Hueleweki unataka kueleza nini?